WAZIRI SILAAA KATIKA KONGAMANO LA CONNECT 2 CONNECT .














Waziri wa Habari , Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa akiwa  katika Hoteli ya Gran Mellia jijini Arusha linapofanyika kongamano la TEHAMA la Connect 2 Connect ambapo yeye ndiye mgeni rasmi. 


Mada mbalimbali zinazohusu TEHAMA zinatarajiwa kuwasilishwa kwenye kongamano hili ambalo litafanyika kwa muda wa siku mbili kuanzia leo Septemba 18 hadi Setemba 19 ,2024 . 

WAZIRI SILAAA KATIKA KONGAMANO LA CONNECT 2 CONNECT . WAZIRI SILAAA KATIKA KONGAMANO LA CONNECT 2 CONNECT . Reviewed by KUSAGANEWS on September 18, 2024 Rating: 5

No comments: