Washirika mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa mwaka wa Maafisa Ustawi wa Jamii unaofanyika katika ukumbi Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi mkoani Kilimanjaro leo Septemba 17,2024 .
Mgeni rasmi katika mkutano huo ni Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande .
Kauli mbiu ya mkutano huo wa mwaka wa Maafisa Ustawi wa Jamii ni 'Tanzania bila ukatili inawezekana ,imarisha mahusiano chanya ya familia .
MKUTANO WA MWAKA WA MAAFISA USTAWI WA JAMII.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 18, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 18, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment