Washiriki mbalimbali wakiwa kwenye kongamano la TEHAMA la Connect 2 Connect linalofanyika katika Hoteli ya Gran Melia jijini Arusha .
Mada mbalimbali zinazohusu TEHAMA zinatarajiwa kuwasilishwa kwenye kongamano hili ambalo litafanyika kwa muda wa siku mbili kuanzia leo Septemba 18 hadi 19 2024 .
Mgeni rasmi katika kongamano hili ni Waziri wa Habari , Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry Silaa.
KONGAMANO LA CONNECT 2 CONNECT ARUSHA .
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 18, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 18, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment