UJENZI DARAJA LA MAGUFULI MBIONI KUKAMILIKA ,BADO MITA MBILI .












 Ujenzi wa Daraja la JP  Magufuli (Kigogo - Busussi )lenye urefu wa kilometa tatu  linalojengwa kuunganisha barabara kuu ya Usagara -Sengerema  - Geita katika Ziwa Victoria ,lipo mbioni kukamilika ,kwani kimebaki kipande cha mita mbili kuunganishwa .


Hayo yameelezwa jana Jumanne Setemba 17,2024  mkoani Mwanza na waziri wa ujenzi ,Innocent Bashungwa alipokuaga  ujenzi wa daraja hilo unaoenda sambamba na ujenzi wa barabara unganishi zenye urefu wa kilometa 1.66 upande wa kigogo na Busisi.

UJENZI DARAJA LA MAGUFULI MBIONI KUKAMILIKA ,BADO MITA MBILI . UJENZI DARAJA LA MAGUFULI MBIONI KUKAMILIKA ,BADO MITA MBILI . Reviewed by KUSAGANEWS on September 18, 2024 Rating: 5

No comments: