SIMBA YAFUNGUKA ISHU YA KIGOMA ,YASEMA WATASUBIRI SANA .











Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ally ,ametamba kuwa kiungo  Yusuph Kagoma ni mchezaji halali wa klabu hiyo kwami TFF imeshawapa leseni ya kumtumia .


Ameongeza , mchezaji huyo bado ni kijana mdogo ,na timu zinazomtaka zitapaswa kuvumilia hadi pale  Simba  itakaporidhika kuwa  amekitumikia kikosi vya kutosha ,ndipo watakapokuwa tayari kumuachia .

SIMBA YAFUNGUKA ISHU YA KIGOMA ,YASEMA WATASUBIRI SANA . SIMBA YAFUNGUKA ISHU YA KIGOMA ,YASEMA WATASUBIRI SANA . Reviewed by KUSAGANEWS on September 11, 2024 Rating: 5

No comments: