RAIS SAMIA KUFUNGUA MKUTANO WA 8 WA OACPS.












RAIS Samia Suluhu Hassan  anatarajiwa kufungua Mkutano wa Nane wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Afrika ,Karibiani na Pasifiki (OACPS).


Mataifa 78 yanashiriki mkutano huu unaangazia Sekta ya Uvuvi na Uchumi wa Buluu tangu hapo Septemba 9 hadi 11 kisha kufuatiwa na kongamano la kimataifa kuhusu  Mikakati ya Uboreshaji wa Mnyororo wa Uzalishaji wa Vyakula vya Majini linaloandaliwa na Shirika la Chakula Duniani (FAO) kuanzia  Septemba 12 -13 katika  Kituo cha  Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam  

RAIS SAMIA KUFUNGUA MKUTANO WA 8 WA OACPS. RAIS SAMIA KUFUNGUA MKUTANO WA 8 WA OACPS. Reviewed by KUSAGANEWS on September 11, 2024 Rating: 5

No comments: