Dar es Salaam ;Mkutano wa nane wa Mawaziri wa Nchi Wananchama wa Jumuiya ya Nchi za Afrika ,karibia na Pasifiki (OACPS)unaendelea leo katika kituo cha Mkutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC)jijini Dar es Salaam .
Mataifa 78 yameshiriki mkutano huu unaangazia Sekta ya Uvuvi na Uchumi wa Buluu tangu hapo Septemba 9 hadi 11 kisha kufuatiwa na kongamano la kimataifa kuhus Mikakati ya Uboreshaji wa Mnyororo wa Uzalishaji wa Vyakula vya Majini (Aquatic Food Value Chain ) linaloandaliwa na shirika la chakula Duniani (FAO)kuanzia Septemba 12-13 mwaka huu.
NCHI 78 NDANI YA JNICC ,MKUTANO WA 8 WA OACPS.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 11, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 11, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment