SGR INAASHIRIA UMEME UNATOSHA TANZANIA.










 Naibu Mkuu na Waziri wa Nishati ,Dkt Doto Biteko amesema  uwepo wa reli ya kisasa na ya kwanza Afrika Mashariki na kati  inayoendeshwa kwa nishati ya umeme (SGR)na yeye mwendo kasi usioppungua kilometa 160 kwa sasa ni kiashiria kuwa Nchi ya Tanzania ina umeme  wa kutosha .


Biteko amesema hayo leo  Septemba 12,2024 mara baada ya kuwasili Jijini Dodoma akitokea  Dar es Salaam kwa kutumia  usafiri.wa SGR.

SGR INAASHIRIA UMEME UNATOSHA TANZANIA. SGR INAASHIRIA UMEME UNATOSHA TANZANIA. Reviewed by KUSAGANEWS on September 12, 2024 Rating: 5

No comments: