WAWILI MBARONI MTWARA KWA MADAI YA KUUA ,MMOJA AKIMTUHUMU MKEWE KUCHEPUKA .










 Jeshi la Polisi  Mkoa wa Mtwara linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za  mauaji katika matukio mawili tofauti ambapo watuhumiwa hao ,kila mmoja alitumia kipande cha mti kumshambulia mwenzake na kusababisha kifo chake .


Akizungumza na waaandishi wa habari ofisini kwake leo  Septemba 12,2024  Kaimu wa Polisi  Mkoa wa Mtwara ,amesema watu hao walipigwa na vipande vya mti ,hivyo kujeruhiwa na kusababisha vifo vyao .



WAWILI MBARONI MTWARA KWA MADAI YA KUUA ,MMOJA AKIMTUHUMU MKEWE KUCHEPUKA . WAWILI MBARONI MTWARA KWA MADAI YA KUUA ,MMOJA AKIMTUHUMU MKEWE KUCHEPUKA . Reviewed by KUSAGANEWS on September 12, 2024 Rating: 5

No comments: