Serikali imeanza mchakato wa kupitia mikataba ya ubinafsishaji wa viwand vya mazao ili kuangalia kama vilikidhi masharti wakati vinauzwa .
Hayo yamesemwa leo Jumatano Septemba 4,2024 na Waziri wa kilimo , Hussein Bashe wakati akijibu swali la mbunge wa Tunduru Kaskazini (CCM) Hassan Kungu .
Kungu amesema moja ya sababu ya kibinafsisha kiwanda ni kupata mwekezaji anayeweza kukiendesha.
SERIKALI KUPITIA UPYA MIKATABA YA UBINAFSISHAJI VIWANDA.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 04, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 04, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment