Rais wa Tanzania ,Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi na Serikali wanaoshiriki Mkutano wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya china na Afrika (FOCAC) katika ukumbi wa The Great Hall of the people Jijini Beijing nchini China leo Septemba 05,2024 ambao leo amewahutubia viongozi hao.
RAIS SAMIA NA VIONGOZI WENGINE FOCAC CHINA .
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 05, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 05, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment