ROSE REUBEN MJUMBE WA BODI YA ITHIBATI YA WANAHABARI.












Waziri wa Habari , Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ,Jerry Silaa amemteua Tido Mhando  kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Wanahabari .


Kwa mujibu wa Taarifa ya Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali wa wizara hio , Isabela Maria Katondo imeeleza  kuwa wajumbe wa Bodi hiyo Thobias  Makoba , Mgaya Kingoba , Dk  Rose Reuben ,Dk Egbert Mkoko na Ladislaus Komanya .


Bodi hiyo  Imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu  cha 11 cha Sheria ya Huduma ya Vyombo vya Habari  Na 12 ya mwaka  2016 

ROSE REUBEN MJUMBE WA BODI YA ITHIBATI YA WANAHABARI. ROSE REUBEN MJUMBE WA BODI YA ITHIBATI YA WANAHABARI. Reviewed by KUSAGANEWS on September 19, 2024 Rating: 5

No comments: