Baada ya sare mbili tasa za michezo ya Ligi kuu Tanzania Bara Klabu ya Azam leo inashuka uwanjani dhidi ya wenyeji KMC kwenye uwanja wa KMC Complex ,Dar es Salaam katika mchezo pekee wa ligi hiyo .
Azam ilitoka suluhu dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa ufunguzi wa ligi kwenye uwanja wa Mej Jenerali Isamuyo Agosti 28 kabla ya suluhu nyingine dhidi ya Pamba kwenye uwanja wa Azam Complex Setemba 14
MTIHANI MWINGINE KWA AZAM LIGI KUU LEO .
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 19, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 19, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment