Waziri wa Nchi , Ofisi ya Rais -TAMISEMI Mohammed mchengerwa amewaagiza wakuu wa Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanasimamia zoezi la ubainishaji wa watoto wenye mahitaji maalumu ili waweze kupata fursa ya elimu
Akifungua maadhimisho ya miaka 30 ya elimu jumuisha Patandi Jijini Arusha Mchengerwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya kupitia kamati za ulinzi na Usalama kufuatilia wazazi wanaowaficha watoto wenye mahitaji maalumu ili waweze kupata elimu kama stahiki ya mtoto wa kitanzania
MCHENGERWA AAGIZA UBAINISHAJI WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU .
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 18, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 18, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment