Ligi kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo miwili kufanyika Kagera na Tabora .
Wageni wa ligi hiyo ,KenGold ya Mbeya baada ya kupoteza michezo 3 mfululizo itakuwa mgeni wa Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba .
KenGold ipo nafasi ya 16 mwisho wa msimamo wa Ligi kuu haina point wakati Kagera Sugar ambayo nayo inasuasua inashika nafasi ya 15 ikiwa na point 1baada ya michezo 4
KAGERA SUGAR VS KENGOLD ;KIPUTE CHA WALIOHOI LIGI KUU.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 20, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 20, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment