DHAMANA YA 'BONI YAI YADUNDA ,ASOTA RUMANDE .













Wakati Jeshi a Polisi likikiri kumshikilia kada wa Chadema   na  mwanamitindo ,Boniface  Jacob maarufu 'Boni Yai ' wakili wa chama hicho , Hekima Mwasipu  amesema mteja wake amekosa dhamana .


Mwasipu amesema , Jacob  anatuhumiwa kwa kosa la kusambaza taarifa za uongo na sababu za kukosa dhamana na mlalamikaji ni makao makuu ya Polisi Dodoma , hivyo Polisi  Mkoa wa Kinondoni  'mikono yao imefungwa '


Msemaji wa Jeshi la Polisi  David Misime katika taarifa aliyotoa jana Septemba 18 ,2024 alisema Jeshi la Polisi  limemkamakata na linamshikilia Jacob, mkazi wa Mbezi Msakuzi  jijini  Dar es Salaam kutokana na makosa  ya kijinai anayotuhumiwa nayo . 

DHAMANA YA 'BONI YAI YADUNDA ,ASOTA RUMANDE . DHAMANA YA 'BONI YAI YADUNDA ,ASOTA RUMANDE . Reviewed by KUSAGANEWS on September 19, 2024 Rating: 5

No comments: