VIJIJI 279 YA 306 VYAPATA UMEME KIGOMA









Wakala wa Nishati  Vijijini (REA) umetumia kiasi cha Sh   billioni 100 kuwasha umeme katika vijiji 279 kati ya 306 katika mkoa wa Kigoma na kwamba taratibu za kupeleka umeme katika ngazi ya vitongoji zimeanza 


Mkurugenzi Mkuu wa REA ,Mhandisi Hassan Saidy  amesema  wakati wa Ziara ya Mwnyekiti  wa Bodi  ya Nishati vijijini (REB0 Balozi Meja  Jenerali (mstaafu ) Jacob kingu  kukagua utekelezwaji wa miradi mbalimbali ya kupeleka umeme vijijini .  

VIJIJI 279 YA 306 VYAPATA UMEME KIGOMA VIJIJI 279 YA 306 VYAPATA UMEME  KIGOMA Reviewed by KUSAGANEWS on September 19, 2024 Rating: 5

No comments: