'Kwa msaada na ushirikiano mkubwa wa wananchi,Agosti 24,2024 mashimo mawili mengine yaliweza kubainika ambapo baada ya kufukuliwa ulipatikana mwili wa Gidion Samwel Mnyawi Mkazi wa Makuro ambaye mara ya mwisho alionekana amepakizwa kwenye pikpiki na watu wawili October 15,2023 na taarifa za kutoweka kwake kuripotiwa na Polisi, mwili mwingine haujatambuiwa na unahitaji mwendelezo wa uchunguzi wa wataalamu wa uchunguzi wa maiti na DNA ambapo umekutwa ukiwa na mabakibaki ya nyonga ,paja la mguuwa kulia na kushoto.
MIILI MITATU KUFUKULIWA NYUMBANI KWA MGANGA.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 26, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 26, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment