Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Siirro amesema
kuwa Mwandishi wa habari aliyepigwa Siku ya Mechi ya Simba na Asante Kotoko ya
Ghana alikuwa mbishi na alimkaba Askari Polisi akitaka kuingia sehemu ambayo
imekataliwa kuingia Ndipo askari wakawa na hasira na kuanza kuvutana ndipo
ugomvi Ukiaanza.
BONYEZA HAPO CHINI KUTAZAMA ALICHOKISEMA IGP SIRRO
.
Sirro amesema kuwa mwanzo inaonekana mwanahabari
alifanya vurugu na jalada lazima lifunguliwe pamoja na askari polisi waliokuwa
wanampiga upelelezi utafanyika ili kuchukua hatua kwa sababu kila jmbo linataka
upelelezi.
Amesema kuwa Mwanahabari Alivua shati Mwenyewe na
kuanguka chini kasha kukimbia mbele kwenye kioo cha camera ili kuonekana
amepigwa jambo ambalo siyo sahihi.
IGP Sirro Adai Mwanahabari alimkaba Askari Polisi
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 16, 2018
Rating:
No comments:
Post a Comment