Mbunge wa
Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete amesema sababu ya wapinzani kuhamia chama
tawala inatokana na mambo mazuri yanayofanywa Serikali ya Awamu ya Tano
Ametoa kauli
hiyo leo Jumanne Julai 31, 2018 kupitia ukurasa zake za mitandao ya kijamii
Amesema
kutokana na wimbi hilo la wapinzani kuhamia CCM wa kulaumiwa ni Serikali hiyo
kutokana na kufanya mambo ya uhakika yanayowavutia
Wabunge
wengine wa Chadema waliotimkia CCM ni Mwita Waitara na Dk Godwin Mollel. Dk
Mollel alipitishw ana CCM kuwania tena ubunge katika jimbo la Siha na kuibuka
mshindi
Kupitia
ukurasa wake Ridhiwani amesema, “kama hauwezi pambana ungana nasi karibuni
nyumbani kumenoga.”
Ridhiwani atoa neno wimbi la wapinzani kujiunga CCM
Reviewed by KUSAGANEWS
on
July 31, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
July 31, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment