RC Kigoma amwakilisha Mwigulu ibada ya kuombea amani


Leo Jumapili Julai Mosi, 2018 Mwigulu Nchemba alipaswa kuwa mgeni rasmi katiba ibada ya kuombea Taifa mkoani hapa, lakini ameshindwa kushiriki baada ya kuachwa katika mabadiliko ya baraza la mawaziri yaliyotangazwa leo na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi

Kufuatia hali hiyo, Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Emanuel Maganga amehudhiria ibada hiyo badala ya Mwigulu. Ibada hiyo inafanyika katika uwanja wa Mwanga Center mkoani hapa

Mwiguli yupo mkoani Kigoma kwa ziara ya kikazi na leo saa 6 mchana alitembelea bandari ndogo ya Kibirizi

Akiwa katika bandari hiyo, Mwigulu amesema Serikali ipo tayari kuwarudisha makwao wakimbizi walio tayari
RC Kigoma amwakilisha Mwigulu ibada ya kuombea amani RC Kigoma amwakilisha Mwigulu ibada ya kuombea amani Reviewed by KUSAGANEWS on July 01, 2018 Rating: 5

No comments: