Rais John
Magufuli amemteua aliyekuwa mshindi wa pili wa mashindano ya ulimbwende
Tanzania (Miss Tanzania) 2006, kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe
Rais Magufuli
ametangaza uteuzi huo leo, Julai 28 Ikulu jijini Dar es Salaam. Jokate anashika
nafasi ya Happyness Senenda
Jokate alikuwa
mshindi wa pili katika mashindano ya ‘Miss Tanzania’ ambapo Wema Sepetu
alishinda taji hilo
Kabla ya
kuteuliwa kushika nafasi hiyo, Jokate alikuwa Kaimu Katibu wa Idara ya
Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM
Jokate
aliteuliwa kushika nafasi hii Aprili mwaka jana na akaondolewa kwenye nafasi
hiyo Machi mwaka huu
Magufuli amteua Jokate Mwegelo Mkuu wa wilaya ya Kisarawe
Reviewed by KUSAGANEWS
on
July 28, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
July 28, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment