Ndalichako amesema Kuna watumishi 22
wa Taasisi ya Elimu wamesimamishwa kazi na
hawajaishia hapo bali wanangalia hatua za kuwachukulia sheria kwa kuisababishia
Serikali hasara.
Profesa Ndalichako alikuwa akijibu
hoja ya Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Felister Bura bungeni mjini Dodoma leo Mei
2, wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati kupitisha bajeti ya wizara ya elimu
ya mwaka 2018/19.
Katika majibu yake, Profesa
Ndalichako amesema ni kweli kuna makosa katika vitabu hasa baada ya wabunge
kuliibua bungeni mwaka jana
Vitabu vyenye makosa vyawatia matatani watumishi 22
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 02, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 02, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment