Upelelezi kesi inayomkabili Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari kuhusu
kesi ya kumshambulia aliyekuwa Mtendaji wa kata ya Makiba, Neeman Ngudu ya
mwaka 2014 umekamilika.
February
6 2018, Nassari alifikishwa Mahakama ya Wilaya ya Arumeru na
kusomewa mashtaka ya kesi anayodaiwa kuifanya 2014 katika uchaguzi wa serikali
za mitaa.
Hakimu aliyekuwa akisikiliza
kesi hiyo Jasmin
Abdul ameahirisha kesi hadi June 6, 2018 ambapo mtuhumiwa
atasomewa maelezo ya awali baada ya upande wa Jamhuri kusema upelelezi
umekamilika.
Upelelezi kesi ya Mbunge Nasari ya 2014 umekamilika
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 02, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 02, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment