|
Serikali itaendelea kuhamasisha
shughui za hifadhi ya Mazingira hususani kutunza vyanzo vya maji kwa
kuendeleza kutoa miongozo ya utekelezaji wa sheria na mikakati inayohusisha
kutunza vyanzo vya maji
Akijibu swali la Mbunge wa viti
maalum Catherine Magige, aliyeuliza serikali ina mikakati ipi kisheria
kushughulikia suala la ulinzi wa maeneo ya vyanzo vya maji ili kunusuru
maeneo hayo dhidiya uvamizi na matumizi mengine yasiyokusudiwa
|
|
|
Naibu waziri wa nchi, Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.Kangi Lugola amesema serikali
imeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuhamasisha jamii zinazozunguka
vyanzo vya maji, serikali za mitaa na vijiji kushiriki katika jitihada za kuhifadhi
vyanzo vya maji pamoja na kutoa elimu juu ya umuhimu wa kutunza vyanzo vya
maji na kuviwekea mipaka
|
|
|
Aidha Mheshimiwa Hasunga amesema
uvamizi huo umesababisha baadhi ya maeneo ya hifadhi kupoteza sifa katika
mapori tengefu 12 na hivyo kuanzisha mchakato wa kuyarudisha kwa wananchi ili
yatumike kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji
|
SERIKALI YAHAMASISHA USIMAMIZI WA MAZINGIRA
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 02, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 02, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment