Ndugu wa mbunge Heche aliyeuawa mikononi mwa polisi, kuzikwa leo


Mkazi wa Tarime, Chacha Suguta (27), anayedaiwa kuuawa kwa kuchomwa visu akiwa mikononi mwa polisi, anazikwa leo

Msemaji wa familia ya Suguta, Wegesa Suguta ameiambia Mwananchi kuwa tayari mwili wa marehemu umewasili kijijini kwao Nyabitocho wilayani Tarime

Suguta ambaye pia ni mdogo wa mbunge wa Tarime, John Heche, alifariki dunia Aprili 27 baada ya kukamatwa na polisi akiwa baa
Ndugu wa mbunge Heche aliyeuawa mikononi mwa polisi, kuzikwa leo Ndugu wa mbunge Heche aliyeuawa mikononi mwa polisi, kuzikwa leo Reviewed by KUSAGANEWS on May 03, 2018 Rating: 5

No comments: