|
Majaji wa Mahakama ya Afrika ya
Haki za Binadamu na Watu, yenye Makao yake Makuu Jijini Arusha wanalazimika
kusikiliza kesi kwa muda wa ziada ili kukamilisha kesi za wananchi wa
nchi mbalimbali za Umoja wa Afrika yanayoendelea kuwasilishwa Mahakamani
hapo
Hatua ya majaji hao imeelezwa na
baadhi ya wadau wa sheria kuwa ni mfano wa kuigwa
|
|
|
Miongoni mwa kesi zinazoendelea
katika Mahakama hiyo ni pamoja na iliyofunguliwa na raia wa Ivory Coast
anayeilalamikia Mahakama Kuu ya Tanzania, raia wa Ghana na raia wa Benin wote
wakiwa wana lala mikia ukiukwaji wa haki zao uliofanywa na Mahakama za
nchi zao wakati wa kusikiliza mashtaka yaliyokuwa yanawakabili
|
|
|
Katika kesi ya raia wa Ivory Coast
aliyepatikana na hatia ya mauaji ya mke wake anayeishtaki Mahakama Kuu ya
Tanzania, amelalamika kuwa wakati kesi yake ina endeshwa hakupata msaada wa
sheria.
|
|
|
Pia Wakili wa raia huy
amelalamikakuwa mteja wake hakuwa anaelewa Kiswahili na Kingereza zilizokuwa
zinatumika jambo lililosababisha ashindwe kuelewa kilichokuwa
kinazungumzwa malalamiko ambayo pia yametolewa na ya raia wa Ghana na pia wa
Benin
|
Majaji walazimika kusikiliza kesi kwa muda wa ziada Arusha.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 12, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 12, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment