Timu ya Simba
imekubali imekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa
Ligi Kuu uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa leo Jumamosi
Simba
imekubali kupoteza mchezo huo muhimu ambao imetibua rekodi yao ya kutokufungwa
mechi iliyoshuhudiwa na Rais John Magufuli
Kagera Sugar
imekuwa timu ya kwanza kuvunja rekodi ya Simba ya kutopoteza mchezo kwenye ligi
msimu huu, ambapo mshambuliaji Okwi alikosa penati iliyopanguliwa
na Juma Kaseja na kushindwa kuinusuru timu hiyo
Simba
imekabidhiwa kombe la ubingwa la Ligi Kuu msimu wa 2017/18 na Rais John
Magufuli
Kaseja aiongoza Kagera Sugar kuitibulia ya Simba Taifa
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 19, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 19, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment