|
Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora,
Wilbrod Mutafungwa amewataja waganga hao kuwa ni Chemani Ndishiwa (79) na
Nzali Mayunga (40
Wengine waliokamatwa ni Masanja
Seni (65), Kasura Msomi (31), Michael James (19), Dotto Lukelesha (41) na
Samwel Jonas (18) wote wakazi wa kijiji cha Mwakwangu
Mutafungwa amesema tukio hilo
lilitokea jana Aprili 28, 2018 saa tano usiku katika kijiji hicho baadhi ya
wananchi walikwenda kwa waganga hao wawili kupiga ramli na kuambiwa kijijini
wapo baadhi ya familia ni wachawi
Amesema baada ya kuelezwa hivyo,
baadhi wa wananchi waliamua kukodi vijana kwa kuwalipa fedha na hakuweza
kutaja kiwango waliokwenda kwenye nyumba ya Luli Lukeresha na kuichoma
“Baada ya kufanya unyama huo, vijana
hao walikwenda tena katika miji mingine ambayo waliichoma na kutoweka
ingawa wananchi walitoa taarifa polisi Igunga,” amesema
|
|
Watu saba washikiliwa mkoani Tabora
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 29, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 29, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment