Nyang'hwale. Wakuu wanne wa
idara ambao waliodaiwa kutoa taarifa zinazotofautiana za miradi ya Wilaya ya
Nyang'hwale Mkoa wa Geita kwa kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa, Charles
Kabeho wamewekwa rumande tangu jana mchana kwa mahojiano zaidi.
Wakuu hao ni wa idara ya
elimu, kilimo, maji na maendeleo ya jamii ambao taarifa zao za fedha za miradi
zilitofautiana na taarifa ya mkoa
Wakuu wa Idara wanne wawekwa ndani kwa kumdanganya Kiongozi wa Mbio za Mwenge
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 05, 2018
Rating:
No comments:
Post a Comment