Mke wa Gwanda,
Anna Pinoni, alipokea tuzo hiyo kwa niaba ya mume wake ambaye mpaka sasa
hajulikani alipo tangu alipotoweka Novemba 21 mwaka jana
Wengine
waliopewa tuzo hizo ni Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tangayika, (TLS) Fatma
Karume na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSN) Abdul Nondo
Tuzo hizo
zimetolewa leo Aprili 28, wakati wa maadhimisho ya miaka mitano ya kuwapo kwa
mtandao huo
Gwanda,
mwandishi wa Mwananchi aliyekuwa akiripoti kutoka Kibiti, alitoweka katika
mazingira ya kutatanisha, Novemba mwaka jana.
Azory Gwanda, Fatma Karume wapewa tuzo
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 28, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 28, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment