![]() |
| Basi la Kampuni ya HOOD likiwa limeingia katika nyumba ya biashara baada ya kupoteza muelekeo |
![]() |
| basi la Hood likiwa ndani ya nyumba baada ya kupioteza muelekeo |
![]() |
| Wananchi wakishuhudia ajali maeneo ya kona nairobi |
Muhudumu wa nyumba hiyo Robina Marwa amesema ajali hiyo imetokea
majira saa tisa usiku wa kuamkia leo wakati akifanya usafi ili afunge biashara
lakini gafla alisikia kishindo kikubwa na kuona basi hilo likigonga nyumba hiyo
na kuingia ndani.
Amesema basi hilo lilikuwa likitokea barabara ya Tekniko
na lilipofika eneo la kona na Nairobi lilipoteza mwelekeo na kisha kuigonga
nyumba hiyo ya biashara ambapo aliejeruhiwa sehemu ya mkono pamoja na kuharibu
eneo la mbele la ukuta wa nyumba hiyo,milango, madirisha,viti,pamoja meza moja
ya pool Table.
Mmliki wa nyumba hiyo Chola Mollel amesema bado
anaendelea kufanya tadhmini ya mali zilizoharibika ili kujua dhamani yake.
WATU 2 WAWILI WANUSURIKA NA AJALI YA BASI LA KAMPUNI YA HOOD
Reviewed by KUSAGANEWS
on
October 27, 2016
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
October 27, 2016
Rating:




No comments:
Post a Comment