Akizungumzia tukio hilo ofisini kwake Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Arusha , Charles Mkumbo amesema jeshi la polisi haliwezi kuwafungulia kesi wanafunzi hao ambao wamekiri kufanya vitendo hivyo mara kadhaa, kutokana na umri wao kuwa mdogo.
Kamanda mkumbo amesema Kisheria, ili mtu aweze kushitakiwa na kosa hilo anapaswa awe mtu mzima kuanzia miaka 13 na kuendelea na mtoto wa miaka 10 na kurudi nyuma kisheria hastahili kushtakiwa kwa jambo lolote alilolitenda la kijinai.
Aidha amesema jeshi hilo linawatafuta vijana waliowafundisha kufanya mapenzi na mbwa wakati watoto hao wakiendelea kupata ushauri wa kitaalamu.
Pamoja na hayo ameagiza timu yake ya wataalamu wa dawati
la jinsia kufika shlue ya msingi sombetini kwa ajili ya kutoa ushauri kwa
watoto ili kuepukana na vitendo hivyo ambavyo siyo vizuri kwa jamii na taifa
kwa ujumla.
WANAFUNZI 11 WATUHUMIWA KUJIHUSISHA KIMAPENZI NA MBWA ARUSHA
Reviewed by KUSAGANEWS
on
October 27, 2016
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
October 27, 2016
Rating:


No comments:
Post a Comment