Kanda ya video ya CCTV imetolewa ambapo daktari mmoja nchini Urusi alimpiga ngumi mgonjwa na kumuua
Mgonjwa huyo alikuwa amempiga teke muuguzi mmoja kabla ya daktari huyo kumpiga ngumi ya kichwa kulingana na vyombo vya habari vya Urusi na kuzirai kabla ya kuaga dunia akiwa hospitalini.
Wachunguzi wanadhani kwamba hakumuua kwa makusudi lakini wameanzisha kesi ya uhalifu.
Habari hiyo ilisambaa baada ya kanda hiyo kutolewa.
BBC
Daktari ampiga ngumi mgonjwa na kumuua
Reviewed by KUSAGANEWS
on
January 12, 2016
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
January 12, 2016
Rating:


No comments:
Post a Comment