Uhuru aomboleza






 Rais Uhuru Kenyatta aliwaandikia familia ya wahasirika wote barua ya kuomboleza 
 
Rais Uhuru Kenyatta jana aliwaandikia barua kila familia iliyopoteza mpendwa wao.
Wote walioathirika walipewa shilingi laki moja za Kenya,Jeneza na gari la kusafirishia maiti hadi makwao.

Makumi ya raia wa kigeni wakamatwa kote nchini kufuatia msako mkali unaoendelea
Uhuru aomboleza Uhuru aomboleza Reviewed by KUSAGANEWS on April 11, 2015 Rating: 5

No comments: