Ndege
za kijeshi za Kenya zimeshambulia maeneo ya wapiganaji wa kundi la
Alshabaab katika taifa jirani la Somalia ,msemaji wa jeshi ameiambia
BBC.
Maeneo hayo mawili hutumiwa na wapiganaji hao kupanga mshambulizi nchini Kenya.
Wanajeshi wa AMISOM walitarajiwa kupeleka wanajeshi wao katika eneo hilo la Gedo lakini hadi sasa hawajafanya hivyo.
Hili ni shambulio la kwanza la Kenya kwa shambulizi la alshabaab ambalo lilisababisha mauaji ya watu 148 katika chuo kikuu cha Garissa wiki iliopita.
Jeshi la Kenya lafanya shambulio Somalia
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 06, 2015
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 06, 2015
Rating:



No comments:
Post a Comment