Rais Barrack Obama amesema swala la kisaikolojia miongoni mwa vijana ili kubadilisha maumbile yao linafaa kukoma mara moja.
Mshauri mkuu katika Ikulu ya Marekani Valerie Jarrett amesema kuwa utawala wa Bwana Obama umekubali kwa kauli moja kuwa ushahidi wa kisayansi kuhusiana na maamuzi ya kujibadilisha maumbile, ni swala ambalo haliwezi kukubalika kitaaluma na kimatibabu.
Taarifa hiyo ya Obama inajiri baada ya kifo cha kijana mmoja ambaye alikuwa amebadili jinsia yake na ambaye alijitia kitanzi mwezi wa Disemba baada ya kulazimishwa kuhudhuria mabadiliko hayo ya kimaumbile.
Obama apinga ubadilishaji wa maumbile
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 09, 2015
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 09, 2015
Rating:


No comments:
Post a Comment