Waziri wa Habari , Mawasiliano na Teknolojia ya Habari , Jerry Siaa amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) kuanzia Septemba 18
Taarifa ya Wizara ya Habari , Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imesema kuwa uwamzi huo ni kwa mujibu wa Sheria ya Mashirika ya Umma nO 2 ya mwaka 1992
WAZIRI SILAA AVUNJA BODI YA WAKURUGENZI TSN.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 19, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 19, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment