VITA DHIDI YA WAUZAJI MBEGU FEKI ,BASHE ATOA DARASA KWA WAKUIMA .












Waziri wa Kilimo ,Hussein  Bashe ametangaza vita dhidi ya wauzaji wa mbegu  feki mahindi ,na kubainisha kuwa Serikali  itachukua hatua kali dhidi ya wataobainika .


Bashe amebainisha hayo jana Jumatano  Septemba 18,2024 katika vituo vya uuzaji wa mahindi vya Kizuka na Mgaziniwa wakati akitangaza mpango wa Serikali kutoa mbegu za Mahindi za ruzuka kwa wakulima nchini kote katika msimu wa kilimo wa 2024 -2025 .


Tangazo hilo limetolewa siku chache kabla ya ziara ya Rais  Samia Suluhu Hassan mkoani Ruvuma inayotarajiwa kuanza Ijumaa  Septemba 20,2024. 

VITA DHIDI YA WAUZAJI MBEGU FEKI ,BASHE ATOA DARASA KWA WAKUIMA . VITA DHIDI YA WAUZAJI MBEGU FEKI ,BASHE ATOA DARASA KWA WAKUIMA . Reviewed by KUSAGANEWS on September 19, 2024 Rating: 5

No comments: