TEMESA YAZIITA SEKTA BINAFSI UWEKEZAJI VIVUKO UTENGENEZAJI MAGARI.










Baada ya kusuasua kiuendeshaji ,hatimaye  wakaa wa ufundi na Umeme Tanzania (TENESA ), imetangaza kubadili mfumo wa utekelezaji wa majukumu yake kwa kushirikiana na sekta ya umma na binafsi  kupitia ubia (PPP)


Kutokana na mabadiliko hayo,Temesa imewaita wawekezaji wa sekta binafsi kutoka ndani na nje ya nchi kuwasiisha mapendekezo ya ushirikiano huo katika huduma za vivuko , karakana za ufundi magari na ufundi umeme .


Kwa mujibu wa taarifa  za Temesa , wakala unakuja na mpango huo ikiwa ni  miezi mitatu tangu Mwananchi ilirioti  mfululizo wa ripoti maalumu zinazoonyesha wakala huo kuelemewa na majukumu ,kuathiriwa na mifumo na hata kujikuta ikiangukia katika madeni . 

TEMESA YAZIITA SEKTA BINAFSI UWEKEZAJI VIVUKO UTENGENEZAJI MAGARI. TEMESA YAZIITA SEKTA BINAFSI  UWEKEZAJI VIVUKO UTENGENEZAJI MAGARI. Reviewed by KUSAGANEWS on September 19, 2024 Rating: 5

No comments: