MUHIMBILI YAANZA KUPANDIKIZA MIMBA .










 Makamu wa Rais  Dk  Philip Mpango amezindua kituo cha Upandikizaji mimba cha Dk Samia Suluh Hassan kilichopo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Dar  es Salaam ,Wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa MNH , Professa Mohammed Janab alisema kimeanzishwa kutokana na uwapo wa changamoto ya familia kushindwa kupata watoto.

MUHIMBILI YAANZA KUPANDIKIZA MIMBA . MUHIMBILI YAANZA KUPANDIKIZA  MIMBA . Reviewed by KUSAGANEWS on September 13, 2024 Rating: 5

No comments: