Makamu wa Rais Dk Philip Mpango amezindua kituo cha Upandikizaji mimba cha Dk Samia Suluh Hassan kilichopo katika Hospital ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam ,Wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa MNH , Professa Mohammed Janab alisema kimeanzishwa kutokana na uwapo wa changamoto ya familia kushindwa kupata watoto.
MUHIMBILI YAANZA KUPANDIKIZA MIMBA .
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 13, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 13, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment