Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Dk Philipo Mpango akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Paul Makonda wakati alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro akielekea mkoani Arusha leo Ijumaa Septemba 20 ,2024
Makamu wa Rais anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kuhitimisha kongamano la nne la Uhuru wa Kidini la Afrika litakalofanyika katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kesho Jumamos Septemba 21,2024
MPANGO AWASILI ARUSHA KUHUDHURIA KONGAMANO LA KIDINI .
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 20, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 20, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment