HALI ILIVYO MSIBANI KWA ALI KIBAO,LEMA ,MNYIKA WASHIRIKI DUA .









Makundi ya wafuasi wa vyama vya siasa ,viongozi wa Chadema na ACT -Wazalendo wakiwa nyumbani kwa aliyekuwa kada ya Chadema ,Ali Kibao katika eneo la usagara mkoani Tanga kwa ajili ya kushiriki mazishi ya kiongozi huyo .


Mwili wa Ali Kibao unatarajiwa kuzikwa leo Septemba 9,2024 saa 7 mchana, maeneo ya Sahala njia ya kuelekea Pangani . 

HALI ILIVYO MSIBANI KWA ALI KIBAO,LEMA ,MNYIKA WASHIRIKI DUA . HALI ILIVYO MSIBANI KWA ALI KIBAO,LEMA ,MNYIKA WASHIRIKI DUA . Reviewed by KUSAGANEWS on September 09, 2024 Rating: 5

No comments: