Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Rais Samia Suluhu Hassan akikagua gwaride la maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania yanayofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS) Moshi Kilimanjaro leo Septemba 17, 2024
Kauli mbiu ya maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi ni 'Huduma bora za kipolisi kwa Umma zitapatikana kwa kubadilika kifikra ,usimamizi wa sheria na matumizi ya TEHAMA '
AMIRI JESHI MKUU AKIKAGUA GWARIDE LA POLISI.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 17, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 17, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment