Jeshi la Polisi Wilaya ya Ngorongoro limezuia mikutano ya hadhara ya Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyopangwa kufanyika Wilayani huko kwanzia Agosti 29,2024 hadi September 15,2024 ikiongozwa na Katibu wa NEC -Siasa ,Itikadi,Uenezi CCM Taifa ,Amos Makalla.
Barua kutoka Ofisi ya Mkuu wa Polisi (OCD) Ngorongoro iliyojibu maombi ya CCM imesema 'kutokana na shughuri za kuimarisha usalama zinazoendelea katika maeneo mliyoomba kufanyia mikutano tunawajulisha kuwa tumesitisha mikutano ,mikusanyiko ya watu katika maeneo hayo hadi hapo tutakapoelekeza vinginevyo.
POLISI KUZUIA MIKUTANO YA CCM NGORONGORO.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 28, 2024
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 28, 2024
Rating:


No comments:
Post a Comment