IGP APOKEA KAMERA MAALUM KUSAIDIA MAPAMBANO YA UHALIFU


 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akipokea kamera maalum (Drons) kutoka kwa Mwakilishi wa kampuni ya Kifaru Ifigenia Anselmi walipokutana Makao Makuu ya Polisi ambapo kampuni hiyo imetoa kamera tatu kwa ajili ya kusaidia mapambano ya uhalifu hapa nchini (Picha na Jeshi la Polisi).
IGP APOKEA KAMERA MAALUM KUSAIDIA MAPAMBANO YA UHALIFU IGP APOKEA KAMERA MAALUM KUSAIDIA MAPAMBANO YA UHALIFU Reviewed by KUSAGANEWS on October 10, 2018 Rating: 5

No comments: