Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Arusha Kimelaani
kitendo cha kutekwa mwandishi wa Habari ambaye ni mmiliki wa Blog ya Motives
kwa kitendo alichofanyiwa cha kupigwa ,kudhalilishwa ikiwa ni pamoja na
kuvuliwa nguo na kupigwa picha za utupu.
VIDEO:MWANDISHI WA HABARI ARUSHA AELEZA ALIVYOTEKWA NA WATU 5 AMTAJA AFISA WA SERIKALI
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 14, 2018
Rating:
No comments:
Post a Comment