|
Mamlaka ya mapato
nchini (TRA)mkoani Kilimanjaro imeteketeza shehena ya bidhaa mbalimbali
za vyakula yakiwemo mafuta ya kupikia ,vifaa vya hospitali ,na vipodozi
vyenye viambata vya sumu vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 23
ambavyo vimeingizwa nchini kupitia njia za panya.
|
|||||
TRA Kilimanjaro yateketeza bidhaa zilizoingizwa nchini kinyemela
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 24, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 24, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment