Mgeni rasmi katika tuzo za umahiri wa habari
zinazotolewa na Baraza la Habari nchini (MCT)Profesa Issa Shivji amesema kazi
ya uandishi wa habari, ni kazi takatifu
Shivji ambaye pia ni Mwanasheria na Mhadhiri
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, ameyasema hayo leo Mei 12, katika utoaji wa
tuzo za umahiri wa habari za Ejat
“Nyie kazi yenu ni kuwezesha umma kufurahia
haki na uhuru. Ninadiriki kusema kazi yenu ni kazi takatifu nasema kwa dhati
kabisa,” amesema
Shivji amesema anawapongeza wanahabari kwa
kazi wanayofanya hasa katika kipindi hiki kigumu
“Ugumu wa kazi yenu unajulikana,” amesema
Profesa Shivji
Profesa Shivji: Kazi ya uanahabari ni kazi takatifu
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 12, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
May 12, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment