Raisi Magufuli Afanya Uteuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Isaya Jayambo Jairo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).
Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na kueleza kuwa uteuzi huo wa Prof. Jairo unaanza leo Aprili 11, 2018.
Soma hapa chini kwa taarifa kamili.
Raisi Magufuli Afanya Uteuzi Raisi Magufuli Afanya Uteuzi Reviewed by KUSAGANEWS on April 11, 2018 Rating: 5

No comments: